Back to home

Rigathi Gachagua adai kuwa serikali ilikuwa na nia ya kumuangamiza

video
May 19, 2025
19 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua amedai kuwa serikali ilikuwa na nia ya kumuangamiza hapo jana. Gachagua amesema kuwa maagizo yalikuwa yametolewa, apuliziwe sumu, ambayo ingemmaliza baada ya miezi mitatu. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and eve..