Back to home

Mwanaharakati Boniface Mwangi aachiliwa na kupatikana Kwale

video
May 22, 2025
17 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mwanaharakati boniface mwangi ameelezea namna alivyoteswa kabla ya kutupwa katika kituo cha Horohoro mpakani mwa Kenya na Tanzania, siku nne baada ya kukamatwa na maafisa wa usalama wa Tanzania. Mwangi aliachiliwa baada ya vuta nikuvute huku wizara ya mashauri ya kigeni ya Kenya ..