Back to home

Akina Mama Bondeni Wajitokeza Kudai Kuwa Kuna Ulegevu Kufuatia Kuongezeka Kwa Visa Vya Dhulma

video
May 23, 2025
15 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kufuatia kuongezeka kwa visa vya dhulma za kijinsia katika kaunti ya Elgeyo Marakwet haswaa vinavyoelekezwa kwa wanariadha na wakazi katika bonde la Kerio, baadhi ya kina mama katika kaunti hiyo wamejitokeza kudai kuwa kuna ulegevu katika sekta ya mahakama. Subscribe and watch ..