Back to homeWatch Original
Akina Mama Bondeni Wajitokeza Kudai Kuwa Kuna Ulegevu Kufuatia Kuongezeka Kwa Visa Vya Dhulma
video
May 23, 2025
15 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Kufuatia kuongezeka kwa visa vya dhulma za kijinsia katika kaunti ya Elgeyo Marakwet haswaa vinavyoelekezwa kwa wanariadha na wakazi katika bonde la Kerio, baadhi ya kina mama katika kaunti hiyo wamejitokeza kudai kuwa kuna ulegevu katika sekta ya mahakama. Subscribe and watch ..