Polisi wawanasa washukiwa wanne wa ujambazi Nairobi
About this video
Maafisa wa polisi jijini Nairobi wamewakamata raia watatu wa Uganda na Mkenya mmoja kwa madai ya kuhusika na visa vya uhalifu maeneo ya Nairobi na Magharibi mwa nchi. Washukiwa hao walionaswa wakiwa na bunduki tatu, wanadaiwa kuhusika na visa vya uhalifu katika mitaa ya Pangani,..