Back to home

Polisi wawanasa washukiwa wanne wa ujambazi Nairobi

video
May 23, 2025
15 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa wa polisi jijini Nairobi wamewakamata raia watatu wa Uganda na Mkenya mmoja kwa madai ya kuhusika na visa vya uhalifu maeneo ya Nairobi na Magharibi mwa nchi. Washukiwa hao walionaswa wakiwa na bunduki tatu, wanadaiwa kuhusika na visa vya uhalifu katika mitaa ya Pangani,..