Back to home

Wabunge wa Tanzania wamtetea Rais Samia Suluhu huku wakisema wanaharakati wa Kenya wakosa nidhamu

video
May 26, 2025
13 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wabunge wa bunge la Tanzania wamemtetea Rais Samia Suluhu Hassan kufuatia shutuma za kufurushwa na kudhulumiwa kwa wanaharakati wa Kenya nchini humo. Wabunge hao wamekashifu kile wanasema ni tabia mbaya za wakenya kwenda kuvuruga amani nchini Tanzania...