Back to home

Kajiado: Wakulima walalamika bei duni ya maziwa

video
May 27, 2025
12 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakulima na wafugaji katika ya Kajiado wamelalamikia kuathirika kwa soko la biashara ya uuzaji wa maziwa, wakisema ni kutokana na mauzo ya bei duni na mirundiko ya madeni kutoka kwa wateja wasiolipa kwa muda unaostahili. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news toda..