Back to home

Wakazi wa Nyakach wataka KWS kuweka mitego kuwanasa wanyama wasumbufu

video
May 27, 2025
12 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa kijiji cha Kalwande kaunti ya Kisumu sasa wanalitaka shirika la huduma kwa wanyama pori kuweka mitego ili kunasa nguchiro na nyani wanaowahangaisha. Ombi hili linajiri baada ya watu wawili kujeruhiwa na nguchiro hao,..