Back to homeWatch Original
Wakazi wa Nyakach wataka KWS kuweka mitego kuwanasa wanyama wasumbufu
video
May 27, 2025
12 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakazi wa kijiji cha Kalwande kaunti ya Kisumu sasa wanalitaka shirika la huduma kwa wanyama pori kuweka mitego ili kunasa nguchiro na nyani wanaowahangaisha. Ombi hili linajiri baada ya watu wawili kujeruhiwa na nguchiro hao,..