Back to home

Nairobi: Taharuki baada ya serikali kupiga marufuku muziki, grafiti na vioo vyeusi kwenye matatu

video
May 28, 2025
11 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kumezuka taharuki kwa wamiliki wa matatu jijini Nairobi kufuatia kuzuka kwa agizo la kupiga marufuku ya kuwepo kwa grafiti, muziki na vioo vyeusi ndani ya matatu yaani tinted windows. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans..