Back to homeWatch Original
Nairobi: Taharuki baada ya serikali kupiga marufuku muziki, grafiti na vioo vyeusi kwenye matatu
video
May 28, 2025
11 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Kumezuka taharuki kwa wamiliki wa matatu jijini Nairobi kufuatia kuzuka kwa agizo la kupiga marufuku ya kuwepo kwa grafiti, muziki na vioo vyeusi ndani ya matatu yaani tinted windows. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans..