Back to home

Wakazi Kariobangi Kusini washtushwa na operesheni ya kufurushwa nyumba zao

video
May 29, 2025
10 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Uhuru ulioko katika wadi ya Kariobangi Kusini, kaunti ya Nairobi, wameelezea kutoridhishwa kwao na operesheni inayoendeshwa na serikali ya kaunti ya Nairobi ya kuwafurusha kutoka kwenye nyumba wanamoishi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest ..