Back to home

Serikali ya Somaliland yafungua ofisi ya Ubalozi jijini Nairobi

video
May 30, 2025
10 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali ya Somaliland imefungua afisi yake mpya ya ubalozi jijini Nairobi siku chache baada ya wizara ya maswala ya kigeni kukataa kutoa idhini ya hafla hiyo. Rais mpya wa Somaliland Abdirahman Abdullahi alifungua rasmi afisi huyo muda mfupi baada ya kukutana na Rais William Rut..