Back to home

Wandani wanne wa Koimburi wamedaiwa kusaidia utekaji nyara

video
May 30, 2025
8 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wandani wanne wa mbunge wa Juja, George Koimburi, wamefikishwa katika mahakama ya Milimani kwa tuhuma za kusaidia kutekeleza utekaji nyara uliodaiwa dhidi ya mbunge huyo, ambaye kwa sasa yuko hospitalini. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd..