Back to homeWatch Original
Ugonjwa usioleleweka wazuka Bamburi mwisho Mombasa
video
May 31, 2025
7 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Watu zaidi ya 15 katika mtaa wa Bamburi mwisho kaunti ya Mombasa wanaugua ugonjwa ambao maafisa wa afya wameshindwa kuutambua kufikia sasa. Wakazi hao wanalalamikia maumivu makali ya kichwa na mgoti, vipele mwilini, miguu kufura na kisunzi pamoja na dalili nyingine. Maafisa wa Wi..