Back to home

Ugonjwa usioleleweka wazuka Bamburi mwisho Mombasa

video
May 31, 2025
7 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Watu zaidi ya 15 katika mtaa wa Bamburi mwisho kaunti ya Mombasa wanaugua ugonjwa ambao maafisa wa afya wameshindwa kuutambua kufikia sasa. Wakazi hao wanalalamikia maumivu makali ya kichwa na mgoti, vipele mwilini, miguu kufura na kisunzi pamoja na dalili nyingine. Maafisa wa Wi..