Back to home

Mahakama yabatilisha ajira ya wafanyakazi wa bima ya SHA

video
May 31, 2025
8 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mahakama ya Ajira na Uhusiano wa Kazi imebatiliza zoezi la uajiri la Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) ikisema mchakato uliotumika si halali. Katika uamuzi uliotolewa Mei 29, 2025, Jaji Byram Ongaya aliamua kuwa ajira zilizofanywa na SHA hazikufuata Katiba na sheria, akitaja ukosef..