Back to homeWatch Original
Gachagua amtaka Rais Ruto kuomba familia za Gen-Z msamaha
video
May 31, 2025
7 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kinara wa chama cha DCP Rigathi gachagua sasa anamtaka Rais William Ruto kufanya kikao na familia zilizowapoteza wapendwa wao katika maandamano ya Gen Z Mwaka jana. Akiongea huko thika kaunti ya Kiambu gachagua amesema ni sharti familia hizo kupokea fidia. Naibu Kinara wa chama c..