Back to homeWatch Original
Mashabiki Hapa Kenya Wapata Fursa Ya Kutazama Fainali Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya
video
June 1, 2025
6 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Mashabiki wa hapa Kenya walipata fursa ya kutazama fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kati ya PSG na Inter Milan kwa hisani ya kampuni ya Mastercard katika dhifa iliyofanyika Carnivore hapa jijini Nairobi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and every..