Back to homeWatch Original
Boniface Mwangi na Agather Atuhaire waelezea mateso makali waliyokumbana nayo Tanzania
video
June 2, 2025
6 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Wanaharakati waliokuwa wamefika nchini Tanzania kwa kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchini humo, Tundu Lissu, wameelezea kilichowapata mikononi mwa polisi. Wanaharakati Boniface Mwangi wa Kenya na Agather Atuhaire wa Uganda wameelezea mateso makali waliyokumbana nayo. Sub..