Back to home

Misa ya kumpa buriani padre cheruiyot yafanywa leo

video
June 2, 2025
5 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wa kisiasa na wale wa kidini wamemlaumu waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kwa kuzumbea kazini kwa kushindwa kuhakikisha usalama maeneo ya bonde la Kerio. Kwenye ibada ya wafu ya marehemu Padre wa kanisa katoliki Allois Cheruiyot aliyeuawa majuma kadhaa yaliyopita, vio..