Back to home

Mbunge Gitonga Mukunji akosoa kauli ya gavana wa Embu Cecily Mbarire kuwa kuna njama dhidi yake

video
June 2, 2025
5 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Siku moja baada ya mwenyekiti wa chama cha UDA na gavana wa Embu, Cecily Mbarire, kudai kuwa kuna njama inapangwa dhidi yake na watu kutoka serikali ya Rais Ruto, mbunge wa Manyatta, Gitonga Mukunji, amemkosoa vikali gavana huyo. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan..