Back to home

Kanisa la glory of christ laondolewa kwenye sajili

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 4, 2025
6mo ago
Hii ni baada ya kiongozi wake kukemea utekaji nyara Josephat gwajima alilalamikia mateso ya mwangi na atuhaire Tanzania yasema gwajima anachochea wananchi wa tanzania Gwajima pia ni mbunge wa eneo la kawe huko tanzania
Advertisement