Back to home

Kanisa la glory of christ laondolewa kwenye sajili

video
June 4, 2025
10 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Hii ni baada ya kiongozi wake kukemea utekaji nyara Josephat gwajima alilalamikia mateso ya mwangi na atuhaire Tanzania yasema gwajima anachochea wananchi wa tanzania Gwajima pia ni mbunge wa eneo la kawe huko tanzania..