Back to home

Kakamega: wakazi wataka mabadiliko ya polisi wakidai kongezeka kwa utovu wa usalama

video
June 4, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kutokana na kupanda kwa visa vya watu waliouawa kuokotwa wakiwa wametupwa kwa mitaro katika barabara kuu ya kutoka Kisumu kuelekea Webuye mjini Kakamega, wakazi wanataka Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen kufanya mabadiliko ya haraka kwa vikosi vya maafisa wa polisi mj..