Back to homeWatch Original
Kwale: Familia yapitia madhila ya maisha kutokana na ukosefu wa ajira
video
June 4, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Familia moja huko Kwale inapitia madhila ya maisha kutokana na ukosefu wa ajira. miaka mitano baada ya kufuzu chuo kikuu, Dennisn Otieno ambaye ana ulemavu wa kuona, na mkewe Cythia Otieno, wanasema juhudi zao za kusaka ajira ya ualimu zimeambulia patupu. Subscribe to NTV Kenya..