Back to home

Bungoma: wazee waitaka bunge kuupitisha mswada wa kufanya wao kulipwa mishahara kama wafanyakazi

video
June 4, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wazee wa mitaa kutoka eneo Kanduyi kaunti ya Bungoma wameliitaka bunge la kitaifa kuharakisha na kuupitisha mswada utakaopelekea wao kulipwa mishahara kama wafanyakazi wengine serikalini. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya new..