Back to home

Vyuo vikuu kanda ya Afrika Mashariki vyatishia maandamano kupinga mauaji Sudan

video
June 6, 2025
1 day ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wanafunzi kutoka muungano wa vyuo vikuu kanda ya Afrika Mashariki wametishia kufanya mandamano hadi afisi ya ubalozi wa Sudan hapa Nairobi kupinga mauaji ya kiholela yanayo endelea nchini humo dhidi ya raia wasio na hatia. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan ne..