Back to homeWatch Original
Vyuo vikuu kanda ya Afrika Mashariki vyatishia maandamano kupinga mauaji Sudan
video
June 6, 2025
1 day ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Wanafunzi kutoka muungano wa vyuo vikuu kanda ya Afrika Mashariki wametishia kufanya mandamano hadi afisi ya ubalozi wa Sudan hapa Nairobi kupinga mauaji ya kiholela yanayo endelea nchini humo dhidi ya raia wasio na hatia. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan ne..