Back to homeWatch Original
Washikadau sekta ya biashara wataka mfumo ya kuwawezesha wafanyikazi kupata malipo ya mapema
video
June 6, 2025
1 day ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Washikadau katika sekta ya biashara nchini wamewataka wajiri nchini kubuni mfumo mwafaka wa kiteknolojia kuwawezesha wafanyikazi kupata malipo ya mapema yani salary advance kukidhi mahitaji yao kimsingi kwa wakati. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today ..