Back to home

Serikali kushirikiana na wawekezaji wa kigeni kuhakikisha sekta ya afya imapata vifaa vya kisasa

video
June 6, 2025
1 day ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali kupitia idara ya utafiti wa kisayansi na ubunifu nchini imetangaza kushirikiana na waekezaji wa kigeni kuhakikisha sekta ya afya inapata vifaa vya kisasa kuimarisha huduma kwa wananchi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as to..