Back to home

Viongozi wa upinzani wafanya mikutano maeneo ya Pwani huku wakiisuta serikali

video
June 6, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amelalamilikia kile anasema ni mapendeleo ya maeneo ya bonde la ufa katika ugavi wa rasilimali za miradi ya maendeleo, akidai Rais William Ruto amekuwa akipendelea ngome zake na kutenga maeneo ambayo hayamuungi mkono...