Back to home

Watu kadhaa wajeruhiwa katika mzozo kuhusu ardhi Narok

video
June 7, 2025
about 7 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mgogoro wa ardhi katika eneo la biashara la Ngosuani, Narok Kusini, umesababisha makabiliano makali kati ya makundi mawili hasimu, hali iliyosababisha watu kadhaa kujeruhiwa vibaya. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. ..