Back to home
Visa vya ubakaji watoto wakithiri Lamu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2025
11mo ago
Onyo kali limetoewa kwa wanaume wa Lamu wanaonyemelea wasichana wenye umri mdogo na kuwadhulumu kingono kwamba watakabiliwa kisheria.Aidha wanaume wameshauriwa kutokuwa na mahusiano ya kingono na watoto walio na umri wa chini ya miaka 18.
Advertisement
Advertisement





