Back to home

Mshauri wa raisi Moses Kuria ametaka Kipchumba Murkomen kufutilia mbali zoezi la kuajiri askari jela

video
June 9, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mshauri wa raisi Moses Kuria ametaka waziziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen kufutilia mbali zoezi la kuajiri Askari jela kwa tuhuma ya kukumbwa na ufisadi.Akizungumza katika hafla ya kuchangia kanisa eneo bunge la Gem, Kuria amesema amepokea lawama kutoka wakenya wengi w..