Back to home

Wanaharakati walalamikia kifo cha mwanablogu Albert Ojwang

video
June 9, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu waliandamana nje ya makafani ya nairobi na kituo cha polisi cha Central kufuatia kifo tata cha mwanablogu Albert Ojwang. Waandamanaji wakipiga kambi kushinikiza haki kwa kile walichokitaja kuwa mauwaji yaliyotekelezwa na maafisa wa usalama..