Back to homeWatch Original
Wanaharakati walalamikia kifo cha mwanablogu Albert Ojwang
video
June 9, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu waliandamana nje ya makafani ya nairobi na kituo cha polisi cha Central kufuatia kifo tata cha mwanablogu Albert Ojwang. Waandamanaji wakipiga kambi kushinikiza haki kwa kile walichokitaja kuwa mauwaji yaliyotekelezwa na maafisa wa usalama..