Back to home

Familia ya Albert Ojwang yakana madai kuhusu namna alivyofariki katika kituo cha Polisi

video
June 9, 2025
about 4 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia ya Albert Ojwang imekanusha madai ya polisi kwamba aliaga dunia kwa kujigongesha ukutani hadi kufa ndani ya seli katika kituo cha Central, Nairobi. Familia hiyo sasa inaitaka serikali kuwachukulia hatua maafisa husika. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan new..