Back to home
Familia ya Albert Ojwang yakana madai kuhusu namna alivyofariki katika kituo cha Polisi
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 9, 2025
12mo ago
Familia ya Albert Ojwang imekanusha madai ya polisi kwamba aliaga dunia kwa kujigongesha ukutani hadi kufa ndani ya seli katika kituo cha Central, Nairobi. Familia hiyo sasa inaitaka serikali kuwachukulia hatua maafisa husika.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan new
Advertisement
Advertisement





