Back to home
Wakaazi wapinga njama ya kuzuia ujenzi eneo la Londiani
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2025
9mo ago
Wakazi na viongozi wa eneo bunge la Kipkelion Mashariki wamepinga vikali jaribio lolote la kuhamisha ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Londiani yenye thamani ya Shilingi Bilioni 8.
Advertisement
Advertisement





