Back to homeWatch Original
Wabunge wamtaka Naibu Inspekta Jenerali kujiuzulu
video
June 10, 2025
12 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wanachama wa kamati ya usalama katika bunge la Kitaifa sasa wanamtaka Naibu Inspekta jenerali wa Polisi Eliud Lagat Kujiuzulu mara moja baada ya kuhusishwa na kukamtwa kwa marehemu mwanablogu Albert Ojwang. Wabunge wa kamati hii wakisema ni sharti kwa idara ya polisi kueleza kwa ..