Back to homeWatch Original
Mwanablogu Albert Ojwang alifariki kutokana na majeraha mabaya ya kupigwa
video
June 10, 2025
12 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mwanablogu Albert Ojwang alifariki kutokana na majeraha mabaya ya kupigwa. Haya ndio matokeo ya upasuaji wa maiti uliofanywa leo na kuonyesha kuwa Albert alikuwa na majeraha kichwani na ishara ya kukabwa kooni...