Back to home
Harambee Stars yapata ushindi ugenini
video
C
Citizen TV (Youtube)June 11, 2025
10mo ago
Timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars hatimaye ilishinda mechi chini ya kocha Benni McCarthy, ikiifunga Chad 2-1 katika jaribio lao la pili jana usiku. Pambano la kwanza kati ya wawili hao lilimalizika kwa sare tasa siku nne zilizopita.
Advertisement
Advertisement





