Back to home

KALRO yaendeleza kilimo cha nyasi Naivasha

video
June 11, 2025
about 1 month ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katika juhudi za kukabiliana na uhaba wa lishe kwa mifugo, Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo –KALRO – limeanzisha mradi wa kipekee wa kilimo cha nyasi ya aina ya Lucern huko Naivasha, Kaunti ya Nakuru. Hatua hiyo inalenga kuimarisha ubora wa lishe ya mifugo ili kuwawezes..

KALRO yaendeleza kilimo cha nyasi Naivasha (Video)