Back to home

KALRO yaendeleza kilimo cha nyasi Naivasha

video
June 11, 2025
21 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katika juhudi za kukabiliana na uhaba wa lishe kwa mifugo, Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo –KALRO – limeanzisha mradi wa kipekee wa kilimo cha nyasi ya aina ya Lucern huko Naivasha, Kaunti ya Nakuru. Hatua hiyo inalenga kuimarisha ubora wa lishe ya mifugo ili kuwawezes..