Back to home
Kiambu: wakaazi watoa maoni kuhusu bajeti ya 2025/26
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 11, 2025
9mo ago
Wakazi wa kaunti ya Kiambu wamejitokeza kwa wingi kutoa maoni yao kuhusu bajeti inayokisiwa kusomwa hapo kesho, wengi wakiwa na matumaini ya kushirikishwa kwa mapendekezo waliyoyatoa kuhusu makadirio ya bajeti.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and ever
Advertisement
Advertisement



