Walimu wa Kuppet Narok wailaani vikali mauaji ya Albert Ojwang’
About this video
Walimu chini ya muungano wa Kuppet, kaunti ya Narok, wameungana na wenzao kote nchini kulaani mauaji ya kikatili ya Albert Ojwang', aliyefariki mikononi mwa polisi katika kituo cha polisi cha Central, jijini Nairobi. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today an..