Back to home

Wanajeshi wawili wafariki kwenye ajali ya ndege Kwale

video
June 14, 2025
16 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wanajeshi wawili wamefariki kwenye ajali ya ndege ya mafunzo ya kijeshi katika eneo la Ndavaya kaunti ya Kwale. Ndege hiyo aina ya Grob 120A ilianguka katika Kijiji cha Viramboni wadi ya Ndavaya, Kaunti Ndogo ya Kinango.Inasemekana kuwa ndege hiyo ilipata hitilafu za kimitambo k..

Wanajeshi wawili wafariki kwenye ajali ya ndege Kwale (Video)