Viongozi wa serikali wasema wataendelea na michango
About this video
Viongozi wanaoegemea serikali sasa wametetea vikali michango wanayofanya sehemu mbali mbali humu nchini, wakisema kuwa hawana makosa kuimarisha maisha ya wakenya. Katika michango waliyofanya Makueni na Bungoma, viongzi hao wamemshutumu vikali aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua..