Back to home

Viongozi wa serikali wasema wataendelea na michango

video
June 14, 2025
about 20 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wanaoegemea serikali sasa wametetea vikali michango wanayofanya sehemu mbali mbali humu nchini, wakisema kuwa hawana makosa kuimarisha maisha ya wakenya. Katika michango waliyofanya Makueni na Bungoma, viongzi hao wamemshutumu vikali aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua..