Back to home

Barabara ya Mwangati Kuresoi Kusini haipitiki msimu wa mvua

video
June 14, 2025
about 22 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa Wadi ya Tinet katika eneobunge la Kuresoi Kusini wameandamana wakilalamikia hali mbaya ya barabara ya Mwangati hadi Kiwanda cha Chai cha Chemusian. Wakazi hao waliokusanyika Kapkembu, na kutembea umbali wa kilomita kadhaa wanaishinikiza serikali kukarabati barabara hi..