Barabara ya Mwangati Kuresoi Kusini haipitiki msimu wa mvua
About this video
Wakazi wa Wadi ya Tinet katika eneobunge la Kuresoi Kusini wameandamana wakilalamikia hali mbaya ya barabara ya Mwangati hadi Kiwanda cha Chai cha Chemusian. Wakazi hao waliokusanyika Kapkembu, na kutembea umbali wa kilomita kadhaa wanaishinikiza serikali kukarabati barabara hi..