Back to home

Police FC wapigania taji lao la kwanza dhidi ya Shabana FC Machakos

video
June 14, 2025
about 13 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Vinara wa ligi kuu ya kandanda humu nchini Police FC watanyakua taji la kwanza kabisa katika historia iwapo wataishinda Shabana FC Uwanjani Kenyatta kaunti ya Machakos hapo kesho. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. G..