Wagonjwa 400 wa macho wapata matibabu bila malipo Mwingi, Kitui
About this video
Zaidi ya wagonjwa 400 wa macho katik eneo la Mwingi kaunti ya Kitui wamepata afueni baada ya watalaam wa afya kufika katika hospitali moja eneo hilo kutoa huduma ya matibabu ya macho bila malipo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as to..