Back to home

Afisa Mkuu wa Kituo cha Central Samson Taalam ameshtakiwa Milimani

video
June 16, 2025
about 10 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Tume ya IPOA leo imewasilisha ombi mahakamani la kutaka afisa mkuu wa kituo cha polisi cha Central Samson Taalam anazuiliwa kwa siku 21 kuruhusu uchunguzi dhidi yake kwenye mauaji ya mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang'...