Back to homeWatch Original
Viongozi wa ODM walaani maauaji kiholela na utekaji nyara, watishia kuvunja mkataba na Kenya Kwanza
video
June 16, 2025
10 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Viongozi wa chama cha ODM wametishia kuvunja mkataba waliotia saini baina yao na serikali ya Kenya Kwanza, wakisema hauna maana yoyote iwapo Wakenya wanazidi kuuawa kiholela ilhali mojawapo ya maswala yaliyo ndani ya mkataba huo ni kukomesha visa vya utekaji nyara na mauaji. Sub..