Back to home

Viongozi wa ODM walaani maauaji kiholela na utekaji nyara, watishia kuvunja mkataba na Kenya Kwanza

video
June 16, 2025
10 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wa chama cha ODM wametishia kuvunja mkataba waliotia saini baina yao na serikali ya Kenya Kwanza, wakisema hauna maana yoyote iwapo Wakenya wanazidi kuuawa kiholela ilhali mojawapo ya maswala yaliyo ndani ya mkataba huo ni kukomesha visa vya utekaji nyara na mauaji. Sub..

Viongozi wa ODM walaani maauaji kiholela na utekaji nyara, watishia kuvunja mkataba na Kenya Kwanza (Video)