Julius Bitok: walimu 24,000 kuajiriwa kabla ya mwisho wa mwaka
About this video
Katibu katika Wizara ya Elimu Julius Bitok amesema serikali ya Rais William Ruto iko tayari kuajiri walimu 24,000 kabla ya mwaka huu kumalizika kama njia moja ya kuboresha masomo zaidi na kupunguza msongamano wa walimu waliohitimu nchini Subscribe to NTV Kenya channel for latest..