Back to home

Julius Bitok: walimu 24,000 kuajiriwa kabla ya mwisho wa mwaka

video
June 16, 2025
about 15 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katibu katika Wizara ya Elimu Julius Bitok amesema serikali ya Rais William Ruto iko tayari kuajiri walimu 24,000 kabla ya mwaka huu kumalizika kama njia moja ya kuboresha masomo zaidi na kupunguza msongamano wa walimu waliohitimu nchini Subscribe to NTV Kenya channel for latest..