Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat ameondoka mamlakani
About this video
Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat amejiondoa mamlakani kwa muda kutoa nafasi ya uchunguzi kuhusiana na kifo cha mwanablogu Albert Ojwang. Kwenye taarifa, Lagat amesema amechukua hatua hiyo ili kuipa ipoa nafasi ya uchunguzi bila ushawishi wowote. Hatua hii pia inafua..