Back to home

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat ameondoka mamlakani

video
June 16, 2025
about 23 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat amejiondoa mamlakani kwa muda kutoa nafasi ya uchunguzi kuhusiana na kifo cha mwanablogu Albert Ojwang. Kwenye taarifa, Lagat amesema amechukua hatua hiyo ili kuipa ipoa nafasi ya uchunguzi bila ushawishi wowote. Hatua hii pia inafua..