Back to home

Zaidi ya vituo 700 vyafungwa katika kaunti 5 nchini

video
June 16, 2025
about 24 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Zaidi ya vituo 700 vya afya vimefungwa katika kaunti tano kwa kukosa kufikisha viwango vya msingi vya kutoa huduma. Vituo vingine 300 vimeshushwa daraja kufuatia ukaguzi wa kitaifa uliofanywa na baraza la wataalamu wa afya kutoka KMPDC. Baadhi ya vituo hivo havijasajiliwa au kuk..