Back to homeWatch Original
Mahakama yaharamisha shule kutoza ada za ziada
video
June 16, 2025
about 22 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mahakama Kuu imeamua kuwa ni haramu kwa shule za umma nchini kuwatoza wanafunzi ada za ziada bila idhini ya waziri wa elimu. Uamuzi huu ukifuatilia kesi iliyowasilishwa dhidi ya shule ya upili ya wasichana ya St. Georges kwa madai ya kuwataka wazazi kulipa ada zaIDI. Kwenye uamu..