Back to home
Babake marehemu Albert Ojwang asema Rais Ruto alimpigia simu kuifarriji familia
video
C
Citizen TV (Youtube)June 16, 2025
5mo ago
Babake marehemu Albert Ojwang, Meshack Ojwang sasa amefichua kuwa Rais William Ruto aliwasiliana naye kwa njia ya simu na kutoa rambi rambi zake. Meshack akieleza kuwa rais ruto alitoa msaada wa shillingi millioni mbili kwa familia.
Advertisement
Advertisement



